LAANA YA KUTOPATA NDOA YAVUNJIKA: Katika familia ya Pamela... Wanawake Huwa hawaolewi... Maisha ni kuchumbiwa, kuzalishwa na kuachwa... Pamela alikuja maombi mwezi wa pili mwaka Huu akitaka nimtenganishe na hiyo Laana maana alitaka Sana kupata ndoa. Nilimuombea, nikamtenganisha na madhabahu ya kwao... Na Leo amekuja kushukuru maana alipata mme na akaolewa. NAKUOMBEA 🙏 Natangaza Kila Laana za ukoo wenu zinazotesa maisha yako zivunjike in Jesus mighty name. Type "HIZO LAANA ZIVUNJIKE" Usifuke mwaka na vifungo vya ukoo!! Prophet Dr. Mutula -The Great 📞0720508509/0745207062 #LetMyPeopleGo https://www.instagram.com/p/CmjyWIeLDlx/?igshid=NGJjMDIxMWI=
WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WANAOTEKELEZA AFUA ZA WANAWAKE
Awataka watumie taarifa za na takwimu za sensa kuandaa mipango yao WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wanaotekeleza afua mbalimbali za wanawake watumie taarifa na takwimu za sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 katika kuandaa mipango na mikakati ya uwezeshaji wa wanawake nchini.Mbali na hayo pia Mheshimiwa Majaliwa amewasisitiza wadau hao wanaotekeleza afua za wanawake waandae…
>Ni hali ya kutengana na MUNGU, kutotii Neno lake na kutoyapa kipaombele mambo yote yanayomuhusu MUNGU.
>Ni hali ya kutengana na YESU KRISTO ambaye ni Ufunuo wa MUNGU mwenyewe, Maana huwezi kumjua na kumfahamu MUNGU aliye hai, pasipo kufunuliwa na YESU KRISTO aliye Njia, Kweli na Uzima.
.......YESU akamwambia, "Mimi ndimi NJIA, na KWELI, na UZIMA; mtu haji kwa BABA, ila kwa njia ya mimi. Kama MNGALINIJUA MIMI, mngalimjua na BABA; tangu sasa mnamjua, tena MMEMWONA". Filipo akamwambia, 'BWANA, utuonyeshe BABA, yatutosha'. YESU akamwambia, "Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? ALIYENIONA MIMI AMEMWONA BABA; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?"
.....Yohana 14:6-9.....
Hakuna njia ya kumfahamu MUNGU wa kweli pasipo YESU KRISTO, la sivyo utakuwa unamtafuta MUNGU kwa kupapasa papasa na itakuwa vigumu kumjua na ikiwa vigumu kumjua MUNGU, sio rahisi Kumpenda, na usipompenda utaachama naye au utatumikia vitu vingine na kuviabudu ukifikiri unamtumikia MUNGU.
Sauli akiwa hajakutana na BWANA YESU aliua watu wengi akifikiri anampendeza MUNGU, Ukweli alikuwa gizani na alijitenga na MUNGU mbali.
.....Sauli alikuwa AKIONA VEMA kwa kuuawa kwa Stefano. Sauli AKALIHARIBU KANISA, akiingia kila nyumba, na kuwaburuta wanaume na wanawake na kuwatupa gerezani. Sauli, AKIZIDI KUTISHA na KUWAZA KUWAUA wanafunzi wa BWANA, AKAMWENDEA Kuhani Mkuu, AKATAKA ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili AKIONA watu wa NJIA HII (Wakristo), waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.
.....Mdo 7:60, 8:3, 9:1-2...
Kwake kuua na kutesa watu alikuwa anajua anampendeza kabisa MUNGU, lakini hakujua kama ametengana naye muda mrefu na anachokifanya anamuudhi MUNGU.
Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana.
Basi, Mariamu akaondoka siku hizo, akaenda hata nchi ya milimani kwa haraka mpaka mji mmoja wa Yuda, akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elisabeti. Ikawa Elisabeti aliposikia kule kuamkia wake Mariamu, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu; akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.…
Tournoi Sango/Kivu Kusini : nitakacho kifanya kesho ni kuinuwa mashabiki(coach ocf masanze)
Mechi za nusu fainali kwenye mashindano SANGO BATENDJI NETHO, mjini baraka zinaleta joto kubwa kazi ya timu maasimu wa Jada. Fcf étoile ikiwa tayari imeingiya fainali ,kwa Sasa inasubiri mshinda Kati ya fcf force des filles na ocf masanze Siku ya pili 12/09/2023.
Kwake coach wa timu ya wanawake ya ocf masanze, Akili Bin Jumainne , emonesha kwamba atajitaidi kuinuwa mashabiki wa timu yake Siku…
Kabla ya kuwa kocha mkuu wa muda wa Forest Green Rovers mwanamke huyo alikuwa bosi wa Akademi ya klabu hiyo…..
WALIANZA Waamuzi wanawake wa mchezo wa soka. Wakapewa nafasi kupuliza filimbi katikati ya dimba na wengine wakawa Waamuzi wasaidizi. Waamuzi wanawake wamepiga hatua katika soka na hawajaachwa nyuma. Chelsea waliwahi kuwa na daktari mwanamke, ambaye alivunja vikwazo vyote vya wanawake…
𝑯𝑬𝑫𝑯𝑰 𝑰𝑺𝑰𝒀𝑶𝑲𝑼𝑨 𝑵𝑨 𝑴𝑷𝑨𝑵𝑮𝑰𝑳𝑰𝑶 𝑺𝑨𝑯𝑰𝑯𝑰
📚 Kuna baadhi ya wanawake hupatwa na tatizo hili, pale ambapo hedhi yao huanza kama wanavyotaraji kisha hukatika gafla kabla ya wakati, na kisha huweza kuanza tena hata kabla ya muda wake.
Wakati mwingine jambo hili si la kawaida sana na husababishwa na sababu za kimaisha na mabadiliko ya kihomoni pia.
Pia huweza sababishwa na homoni kutokua sawa…
Mkiona wanawake wenye hii kansa ya shingo ya kizazi wanavyoteseka unamuonea huruma. Kwa sasa asilimia kubwa ya ugonjwa huu unasababishwa na maambukizi ya virusi vya HPV...sasa mwanaume ukichovya kwa Mariam ukaenda kwa Sada huko kote unakusanya virusi vya HPV unampelekea mkeo baadae anateseka na kansa ya shingo...tulia na wako acha chepuka/zinaa https://www.instagram.com/p/Cpk7cSktfj8/?igshid=NGJjMDIxMWI=
Walakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.
Amin, nawaambieni, Hajaondokea mtu katika wazao wa wanawake aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; walakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni ni mkuu kuliko yeye.
Maua ya Rose hua yanatumika kuonesha upendo baina ya watu, lakini pia maua hayo hayo yana umuhimu mkubwa kwenye mwili wa binadamu. Faida ni kama zifuatazo; 🥀 Inalinda mfuko wa uzazi, kwa wanawake. 🥀 Inasaidia kua na ngozi nzuri 🥀 Ni nzuri kwenye mmeng'enyo wa chakula 🥀 Inasaidia kutoa msongo wa mawazo kwa wa mama waliotoka kujifungua (post partum depression) 🥀 Inasaidia kuongeza Kinga ya mwili kupambana na magonjwa 🥀 Inazuia UTI 🥀 Inapunguza maumivu ya hedhi 🥀 Kwa watu wenye insomnia (kutopata usingizi) hii ni kimbilio lao. 🥀 Ikinywewa kama chai husaidia kupata relief kama una mafua. #healthyfood #health #rose #flower #rosetea #instagood #xybca #life #herbs #health #lifestyle #immune ##smile (at Dar es Salaam, Tanzania) https://www.instagram.com/p/CpEyYNao4N-/?igshid=NGJjMDIxMWI=
MADHABAHU YA KUZUIA WANAWAKE KUPATA NDOA: ➡️Ukipata mpenzi anakuacha bila sababu. ➡️Wapenzi wanakutumia na kukuacha. ➡️Ukipata ndoa inakua ya vita Kila siku. ➡️Roho ya kutopata mimba inakuandama. ➡️Ukipata mimba inatoka. HAYO NI MADHABAHU YA NGIZA KUTOKA KWA BOMA ULIOTOKA. 🎤Natangaza hayo madhabahu yavunjike in Jesus name. Mungu amenituma nikufunjie Hayo madhabahu. 📞📞☎️0720508509 #LetMyPeopleGo https://www.instagram.com/p/CpAvYUbNj9x/?igshid=NGJjMDIxMWI=
Ameandika @hanscana_ kupitia insta story "Wanawake msijicomlicate sana kuna video zinahitaji watu kama zuwena" ************************** We give you what you deserve ************************************* Follow us @yetusote_tv #diamondplatnumz #wasafimedia #wasafitv #wasafi #simba #wcb #wasafifm #rayvanny #zuchu #alikiba #harmonize #mbosso #wemasepetu #jacklinewolper #mamadangote #bongofleva #chui #tembo #nextlevel #kondegang #chibudangote #zarithebosslady #tetema zarithebos #NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #SisiNiSoka #Standing #MillardAyoENT https://www.instagram.com/p/CoWaMxgOEDk/?igshid=NGJjMDIxMWI=
On land, with the help of women and using gold ( money), we are living. Why should the desire for the three change us? Let us benefit from them with awareness.
Kwenye ardhi, kwa msaada wa wanawake na kutumia dhahabu (pesa), tunaishi. Kwa nini tamaa ya hao watatu itubadilishe? Tufaidike nao kwa ufahamu.