Office zetu zipo KIROMO - BAGAMOYO shule barabarani karibu na zahanati ya kiromoKwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Huyu ni persian cat hawa paka huwa wana manyoya marefu, sura ya duara na pua fupi(short muzzle). Kwa nchi za mashariki ya kati huwa wanawaita Iranian cat, na Iran huwa wanaita Shiraz cat.
Persian cat anaweza kuishi miaka 12 wastani.
Aina hii ya paka inapenda sana kuwa karibu na watu, ni paka wapole sana na wasafi lakini pia nirahisi kuwatumza.
Office zetu zipo Tegeta, @Wazohill-Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
Faida za drinker na feeder za kisasa
1. Hupunguza uwezekano wa kuku kupata magonjwa au maambukizi ya magonjwa maana maji yanakua ndani ya ndoo na yanatoka kidogo kidogo kama matone pale Kuku anapo igusa nipple.
2. Hupunguza ukubwa wa kazi, kwamaana huta na tabu ya kuziosha drinker zako kila siku, kwakuwa kuku hawezi chafua maji yalio ndani ya drinker hii.
3. Drinker hizi hubeba maji mengi kwa wakati mmoja, ndrinker moja hubeba maji kiasi cha lita 20, hivyo unaweza kukaa siku 2 au 3 bila kuweka maji mengine.
4. Drinker hizi ni rahisi sana kutumia, mana utakuwa unajaza maji tu kwenye drinker na kuendelea na shughuli zingine.
5. Drinker hizi ni imara sana, hudumu muda mrefu bila kuharibika
Karibuni sana @joackcompany There for you.
Karibu tukuhudumie tuna wataalamu walio wenye uzoefu wa kutosha.
Jiunge nasi kwenye WhatsApp groups, ili uendelee kujifunza mengi na kukutana na familia ya wafugaji.
Kujiunga tuma jina lako WhatsApp kwenye 0712253102
Office zetu zipo @tegetawazohill - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Bata Bukini ni ndege ambao asili yao ni India na Japan.
Hii ni jamii ya ndege wafugwao lakini tofauti kubwa ya bata wa kawaida wao wana asili ya usafi, hivyo hawapendi uchafu na kamwe hawali mizoga.
Tofauti na ndege wengine au bata wengine wa kawaida, mfugaji wa bata bukini anaweza kupata kipato kikubwa kwa haraka na kwa gharama ndogo ukilinganisha na bata wengine.
Kuna aina mbili ya bata bukini ambao ni weupe na wenye mchanganyiko wa rangi, hali kadhalika hutofautiana katika utagaji wa mayai.
Office zetu zipo @tegetawazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa.
JOACK COMPANY LIMITED NI WAUZAJI WA MADAWA YA MIFUGO, KILIMO NA VIFAA VYA MIFUGO NA KILIMO PIA.
JOACK Company Limited @joackcompany hii ni kampuni iliyosailiwa Tanzania, kwa lengo la kutoa huduma mbalili mbalili zinazohusiana na maswala ya kilimo na mifugo.
Office zetu zipo @TegetaWazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Office zetu zipo Tegeta, @Wazohill-Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
Yaani bei ya trei moja ni 160Tsh na kwenye bando moja zinakaa pisi 100 hivyo bando moja ni 18,000Tsh Tu.
JOACK EGGS PAPER TRAY hizi ni aina za trei kwajili ya kuwekea mayai, aina hii ya trei huwa zinatengenezwa kwa kutumia malighafi itokanayo na makaratasi au maksi.
SIFA ZA TREI TUPU KUTOKA JOACK COMPANY.
01.Hazivunji mayai unaweza kuzitumia kusafirishia hadi mkoani.
02.Hata zikiloa Unaweza kuzianika na kutumia tena
03.Unaweza kuzitumia maranyingi.
Kwetu ndio sehemu pekee utapata trei tupu kwa gharama nafuu, watu wengi wa Kariakoo wananunua kiwandani kwetu.
Kwa wateja wa mikoani, mizigo mtatumiwa kokote mlipo kwa gharama nafuu sana..
Office zetu zipo Tegeta, @tegetawazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
Yaani bei ya trei moja ni 160Tsh na kwenye bando moja zinakaa pisi 100 hivyo bando moja ni 18,000Tsh Tu.
JOACK EGGS PAPER TRAY hizi ni aina za trei kwajili ya kuwekea mayai, aina hii ya trei huwa zinatengenezwa kwa kutumia malighafi itokanayo na makaratasi au maksi.
SIFA ZA TREI TUPU KUTOKA JOACK COMPANY.
01.Hazivunji mayai unaweza kuzitumia kusafirishia hadi mkoani.
02.Hata zikiloa Unaweza kuzianika na kutumia tena
03.Unaweza kuzitumia maranyingi.
Kwetu ndio sehemu pekee utapata trei tupu kwa gharama nafuu, watu wengi wa Kariakoo wananunua kiwandani kwetu.
Kwa wateja wa mikoani, mizigo mtatumiwa kokote mlipo kwa gharama nafuu sana..
Office zetu zipo Tegeta, @tegetawazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
CALF FEEDING BOTTLE 馃嵓 CALF MILK BOTTLE 馃嵓 CALF NURSING BOTTLE hii ni chupa ya plastic yenye chuchu ambayo inatumika kumnyweshea ndama maziwa, hii chupa ina ujazo wa lita mbili.
Badala ya kutumia chupa ya soda tumia CALF NURSING BOTTLE ni nzuri sana na nirahisi kutumia.
lakini pia tunauza MAZIWA ya unga kwajili ya ndama yanaitwa MILK REPLACER, hii husaidia kuokoa Gharama za kukuza ndama kwa kutumia maziwa ya mama yake.
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Tupo wazi kila siku kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 5 usiku.
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
SUNGURA ni kati ya wanyama wenye mauombo madogo, hawachukui eneo kubwa, pia ni kati ya wanyama ambao ni rahisi kuwafuga na hawana gharama kubwa.
Sungura akitunzwa vyema inavyostahili haugui kwa urahisi na pia lishe yake ni rahisi kupatikana.
Chakula cha sungura ni kama nyasi, mamboga kama vile sukuma wiki, spinarch, karoti, na pia unaweza kununua chakula halisi cha sungura kutoka maduka(pillet)
Wataalam wanashauri mfugaji akaushe chakula cha sungura ili asikojoe ovyo na pia kukinga magojwa ya tumbo.
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Tupo wazi kila siku kuanzia saa 1 asubuhi hadi saa 5 usiku.
Ofisi zetu zipo Tegeta Wazohill-Dar es salaam na Bagamoyo.
SUNGURA ni kati ya wanyama wenye mauombo madogo, hawachukui eneo kubwa, pia ni kati ya wanyama ambao ni rahisi kuwafuga na hawana gharama kubwa.
Sungura akitunzwa vyema inavyostahili haugui kwa urahisi na pia lishe yake ni rahisi kupatikana.
Chakula cha sungura ni kama nyasi, mamboga kama vile sukuma wiki, spinarch, karoti, na pia unaweza kununua chakula halisi cha sungura kutoka maduka(pillet)
Wataalam wanashauri mfugaji akaushe chakula cha sungura ili asikojoe ovyo na pia kukinga magojwa ya tumbo.
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
FAHAMU KIDOGO KUHUSU BATA BUKINI
Bata Bukini ni ndege ambao asili yao ni India na Japan.
Hii ni jamii ya ndege wafugwao lakini tofauti kubwa ya bata wa kawaida wao wana asili ya usafi, hivyo hawapendi uchafu na kamwe hawali mizoga.
Tofauti na ndege wengine au bata wengine wa kawaida, mfugaji wa bata bukini anaweza kupata kipato kikubwa kwa haraka na kwa gharama ndogo ukilinganisha na bata wengine.
Kuna aina mbili ya bata bukini ambao ni weupe na wenye mchanganyiko wa rangi, hali kadhalika hutofautiana katika utagaji wa mayai.
Office zetu zipo @tegetawazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa.
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm).
Hii mashine inatumia mafuta ya diesel kuzungusha mota, wala haiitaji umeme, na ina uwezo wa kutengeneza pellet kilo 150 kwa lisaa.
PELLET ni chakula cha mifugo kilicho tengenezwa katika mfumo wa tambi tambi au chenga chenga.
JINSI YA KUTENGENEZA PELLET
1. Hatua ya kwaza ni kuchangya virutubisho vyote mfano mahindi, mashudu, pumba, soya, madini, vitamini, nk kwa kutumia beleshi au mashine (MIXER)
NB: Chakula kilicho changanywa tu na kupewa wanyama huwa kinaitwa MASH.
2. Chukua huo mchanganyo na weka kwenye mashine ya Pellet na uwashe mashine ili kutengeneza Pellet, huna haja ya Kuchanganya na maji.
3. Hatua ya mwisho ni kuanika Pellet ulizo tengeneza juani (lisiwe kali).
KWANINI ULISHE PELLET?
Hii ni kwasababu pellet moja (chenga moja) inakuwa na virutubisho/vichanganyo vyote, lakini kwenye chakula cha MASH mnyama/ndege anaweza kula punje aina moja zaidi kuliko nyingine, mfano kula mahindi kuliko soya.
Hii sababu inafaya PELLET kuwa bora na huleta matokeo mazuri kuliko MASH
Office zetu zipo @tegetawazohill - Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - DSM, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
TUNAUZA MASHINE YA KUTENGENEZA PELLET KWAJILI YA CHAKULA CHA MIFUGO | ZIPO MASHINE ZA UWEZO TOFAUTI TOFAUTI.
Call/Text/WhatsApp: +255 712 25 31 02
BEI ZA PELLET NA UWEZO WAKE
100Kg/hr = 1,470,000/=
150Kg/hr = 1,700,000/=
200Kg/hr = 1,770,000/=
300Kg/hr = 3,500,000/=
500Kg/hr = 4,500,000/=
1,000Kg/hr = 6,500,000/=
PELLET ni chakula cha mifugo kilicho tengenezwa katika mfumo wa tambi tambi au chenga chenga, yaani kwa lugha rahisi ni chakula cha tambi tambi.
JINSI YA KUTENGENEZA PELLET
1. Ili utengeneze pellet, unatakiwa kuchangya virutubisho vyote mfano mahindi, mashudu, pumba, soya, madini, vitamini, nk sehemu moja kwa kutumia beleshi au mashine maalumu ya kuchanganyia chakula (MIXER)
NB: Chakula kilicho changanywa tu na kupewa wanyama huwa kinaitwa MASH.
2. Changanya mchachayo wako na maji kidogo, ili uwe na unyevunyevu, hii husaidia chakula kushikana pindi unapotengeneza pellet kwenye mashine.
3. Chukua huo mchanganyo wako na weka kwenye mashine ya Pellet na uwashe mashine ili kutengeneza Pellet.
4. Hatua ya mwisho ni kuchukua Pellet ulizo tengeneza na kuzianika juani (lisiwe kali).
KWANINI ULISHE PELLET?
Hii ni kwasababu pellet moja (chenga moja) inakuwa na virutubisho/vichanganyo vyote, lakini kwenye chakula cha MASH mnyama/ndege anaweza kula punje aina moja zaidi kuliko nyingine, mfano kula mahindi kuliko soya.
Hii sababu inafaya PELLET kuwa bora na yenye matokeo kuliko MASH
Office zetu zipo @TegetaWazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
Ofisi zetu zipo Tegeta-Wazohill Dar es salaam na Bagamoyo.
ELECTRIC COCONUT GRATER ni mashine maalumu inayotumika kukunia nazi. Mashine hii imeundwa na mota inayotumia umeme kipindi mashine inatumika.
Faia ya hii mashine ni kwamba unaweza kuitumia kukuna nazi nyingi ndani ya muda mfupi, hii ni mashine inayokurahisishia kazi.
JOACK Company LTD ni wauzaji wa mashine mbalimbali ndogo na kubwa zinazo tumika katika shughuli mbalimbali za mifugo, kilimo na hata majumbani.
Kwetu utapata mashine kwa gharama nafuu sana, na hizi mashine tunaagiza moja kwa moja kutoka nje.
Na kama unahitaji mashine yoyote iwe kubwa au ndogo, na unahitaji tukuagizie kutoka china nayo inawezekana, kuagiza mashine kutoka china hadi Tanzania Kunachukua siku 35 tu.
Endelea kufatilia page zetu ili uweze kupata bidhaa zilizobora kwa gharama nafuu.
Office zetu zipo @tegetawazohill -Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa