DJIGUI DIARRA bado yupo Yanga hadi 2027
Golikipa DJIGUI DIARRA Ameongeza Mkataba Wa Kuendelea Kusalia Katika Klabu Ya YANGA Mpaka Mwaka 2027… Taarifa hiyo imetolewa na kuthibitishwa na klabu yake ya sasa young African sc
View On WordPress
0 notes
#NBCPL: Wananchi wanaendeleza wimbi la ushindi kwenye NBC Premier League. Nani kuizuia Yanga? FT: KMC 0-1 Yanga LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #NBCPL #SisiNiSoka #SokaLetuBambam #YangaSC #KMCFC #KMCYanga https://www.instagram.com/p/Co-EGS6KpfC/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Mwimbaji wa R & B @chrisbrownofficial baada ya kupotezwa kwenye Tuzo za Grammy na kwenye kipengele cha Albamu Bora ya R & B huku tuzo hiyo ikienda kwa Robert Glasper. Kupitia insta story yake Breezy aliweka picha ya ushindi wa Glasper na " Yall playing , " aliandika juu ya picha ya Glasper ambae ndio mshindi huku akiweka emoji za kucheka . " Huyu ni nani ? " Aliuliza chris. Swipe>>>> *********************************** We give you what you deserve ************************************* Follow us @yetusote_tv #yetusote_tv #harmonize_tz#AzamSports2 #nguvumoja #zuchu#kondegang4everybody #GlobalTVOnline#rayvanny #yangasc #wasafimedia #kingkiba#KondeGang #tanashadonna #sammisagotv#dizzimonline #Etrending #mashamsham#rickmedia #zarithebos #NBCPL #NBCPLUpdates #NBCPremierLeague #SisiNiSoka #Standing #LeagueTable #Msimamo #AzamSports1HD #AzamSports2HD #MillardAyoENT https://www.instagram.com/p/CoTmASdr9k4/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Watch "GOLI LA WIKI LA MAYELE" on YouTube
4 notes
·
View notes
Explore the historic rivalry between Simba SC and Yanga SC, the two dominant football teams in Tanzania, and discover what makes them the best in the country. read the full article: https://bit.ly/3AwbSVl #Tanzania #Football #SimbaSC #YangaSC #Sports read more: what is the best team in tanzania
0 notes
SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL MOTV SPORTS ILI KUTAZAMA MECHI YA @yangasc vs #usmonastir KWA MKAPA 🏟🏟🏟🏟 🔴LIVE BILA CHENGA WEWE CHA KUFANYA INGIA YOUTUBE ALAFU SEARCH MOTV SPORTS ALAFU SUBSCRIBE HUWE WA KWANZA KUPATA LIVE MATCH LEO (at Benjamin William Mkapa Stadium) https://www.instagram.com/p/Cp9k79kugk9/?igshid=NGJjMDIxMWI=
1 note
·
View note
Kila La Heri @yangasc https://www.instagram.com/p/Co067NfqmlH/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
SERIKALI YATOA TOYOTA PIC UP 1,PIKIPIKI 3 KWA WILAYA YA SERENGETI Serikali ya awamu ya sita , inayoongozwa na Mhe. Rais, Samia Suluhu Hassan, imetoa Toyota Pic Up Moja na Pikipiki tatu. 🚦 Mkurugenzi Mtendaji, wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Ndg.Kivuma H.Msangi amesema Halmashauri hiyo imepokea Toyota Pic Up 1 Kwaajili ya Idara ya Elimu Sekondari Pamoja na Pikipiki 3 Kwaajili ya Idara ya Afya. 🏍️🏍️🛣️ Kwa Upande wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Mhe.Ayub Makuruma ,kwa niaba ya wananchi na Idara ya Elimu na Afya amemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kuboresha Mazingira ya Watumishi ya kufanyia kazi ili kutoa huduma bora kwa Wananchi. . . .✍️✍️🇹🇿🇹🇿🇹🇿 @uvccm_w_serengeti @yangasc @wizara_afyatz @wizara_elimutanzania @wizara_elimutanzania https://www.instagram.com/p/CjdCgD3Ng--/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
MAPUMZIKO | #CAFCL HT: Zalan 0-0 Yanga HT: Nyasa 0-1 Simba HT: KMKM 0-1 Ahly Tripoli LIVE #AzamSports1HD , #AzamSports3HD na #AzamXtra #CAFChampionsLeague #CAFCL #CCL #LigiYaMabingwaAfrika #YangaSC #ZalanFC #ZalanYanga #NyasaBigBullets #SimbaSC #SSC #NyasaSimba https://www.instagram.com/p/CiVCbf2qpXH/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa ZambiaClatous Chama amejiunga na timu ya Wananchi Klabu ya Yanga akitokea Simba SC.
USAJILI: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili Kiungo Mshambulia, Clatous Chota Chama raia wa Zambia akitokea Klabu ya SimbaChama anajiunga na Yanga akiwa Mchezaji Huru baada ya kumaliza mkataba wa kuitumikia Simba ambayo ameitumikia katika vipindi viwili tofauti
View On WordPress
0 notes
KMC vs YANGA: Kikosi cha kwanza kimefumuliwa, Mayele, Bangala, Djuma wakianzia benchi upande wa Yanga, huku KMC wakianza na moto wa Matheo, Makang’a na Mvuyekule. Hivi hapa vikosi vya leo. Mechi ni saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #NBCPL #SisiNiSoka #SokaLetuBambam #YangaSC #KMCFC #KMCYanga https://www.instagram.com/p/Co9vh-cKLLZ/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
2 notes
·
View notes
#twitter • #0712228222 • #0653228222 • #tiktok • #facebook • #trending • #diamondplatnumz • #carrymastorytv • #dontozzy • #newarrivals • #yangasc • #tiktokmemes • #mrchambuu1 • #cristianoronaldo • #simba • #whatsapp • #newpost • #ulipotunakufikia • #harmonize • #newfashion • #mrchambuu • #royaltourtanzania • #newcollection • #davido • #tiktoktanzania🇹🇿 • #foa • #simbasc • #instagram • #snap • #insta (at North Little Rock, Arkansas) https://www.instagram.com/p/CgM5d8-uGMs/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
Klabu ya Yanga imetangaza kuachana na aliyekuwa Afisa Mhamasishaji wake Juma Khatib Nugaz (Antonio Nugaz) baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa utumishi. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Yanga, klabu hiyo imeamua kutomwongezea mkataba mpya Nugazi. #YangaSC #Yanga @yangasc @hbumbuli @hajismanara @ogchausa #BabadUpdates (at Baba d updates) https://www.instagram.com/p/CTSIjTEqb1J/?utm_medium=tumblr
0 notes
Full Time: Yanga SC 1-2 Zanaco FC ⚽ Heritier Makambo 30' . ⚽ Mumba 60' ⚽ Kelvin 77' #MechiYaKirafiki #YangaSC #ZanacoFC https://www.instagram.com/p/CTK2RzNqmwg/?utm_medium=tumblr
0 notes