Don't wanna be here? Send us removal request.
Text
Riwaya: TAMAA YA MOYO
Mahali: MWANZA
Mtunzi: Mathias c Mgonja
Sehemu ya 1
Sakina ni binti mrembo na wa pekee wa Amina na marehemu Sele. Binti huyu amelelewa malezi duni tena ni ya mzazi mmoja bila ya uwepo wa baba yake.
Siku moja majira ya mchana Amina akiwa ameketi kwenye mkeka nje ya kile kijumba kidogo cha tembe huku akili yake ikiwa imezama kwenye dimbwi la mawazo, Sakina alirudi na kumsalimia mama yake lakiini salamu haikujibiwa alirudia tena lakini Amina alibaki kimya bila kuijibu salamu ya Sakina
‘’ Aaaah…. Leo umeninyamazia ngoja ..!’’ Sakina alisema na kuingia ndani na kutoka na chombo kidogo chenye maji ndani yake na kumwagia maji yale mama yake.
‘’ Mtumeeee…….mvua inanyesha……!?’’ amina alishtuka na kujitazama na kisha akaangaza macho yake huku na kule lakini palikuwa pakavu na wala hapakuwa na dalili ya uwepo wa mvua kwa muda ule ‘’sasa kama ni mvua mbona ardhi kavu na wala hakuna mawingu?’’ amina aliendelea kujiuliiza maswali tena kwa sauti ‘’au huyu sakina kasharudi maana kashnifanya mimi bibi yake………’’
‘’tehteh…..teh….aaaaah….. mama naona mvua leo imenyesha nyumbani kwako tu.’’ sakina alisema huku akiwa amesimama mlagoni
‘’hivi wewe mtoto utakua lini?’’
‘’ kwa nini unasema hivyo mama?’’
‘’kilichokufanya unimwagie maji ni nini?’’
‘’teh….teh……si nilijua umezimia ……..maana nimekusalimia ukabaki kimya nikasogea mpaka hapo ulipokaa nikarudia tena lakini ukabaki kimya ndiyo maana nikakumwagia maji ili urejee katika hali yako’’ sakina aliongea huku akitabasamu
‘’Watoto wengine sijui wapoje …hebu nitokee hapa nenda ukale halafu uje hapa’’ amina alimwambia sakina.
Mara baada ya dakika kadhaa kupita hali ya mawazo kwa amina liirejea tena na kumfanya azubae kwa mara ya pili, Sakina alipomaliza kula alimfuata mama yaake kule alipokuwa ameka na kumkuta akiwa amezubaa tena.
Moyo wa ssakina ulipata maumivu kutokana na hali ile aliyonayo mama yake alisogea pale mkekani na kumuuliza mama yake kwa sauti ya upole
‘’ mama unaumwa?’’
‘’ hapana mwanangu’’
‘’sasa mbona umenywea na huna furaha , kwa nini mama?’’sakina alimuuliza mama yake kwa sauti ya kinyonge
‘’ usijari mwanangu ni maisha tu ndiyo yananifnya niwe hivi’’ amina alijibu kinyonge huku uso wake ukitazamia chini
‘’Kwani mama, baba yupo wapi’’
Swali lile la sakina lilimpa mshtuko moyoni Amina kwani hakuwa na matarajio kama kuna siku sakina angemuuliza kuhusu baba yake hivyo amina alibaki kimya bila kulijibu lile swali ‘’mama naomba uniambie baba yupo wapi’’sakina alilirudia swali lake
‘’umekosa kazi ya kufanya eeeeeh…..’’ amina alimuuliza bintiye huku akiwa ameukunja uso wake
‘’siyo kama nimekosa kazi ya kufanya mama…….’’
‘’bali……..?’’ amina aliuliza kwa sauti ya ukali
‘’ mama tangu nikiwa mdogo sijawahi kumuona bab yngu wala kupata malezi na mapenzi yake, na leo siyo siku ya kwanza kukuona katika hali hiyo….tafadhari mama naomba uniambie baba alipo’’ kwa wakati huu sakina alikuwa amepiga magoti pembeni na alipokuwa amekaa amina huku machozi yakimtiririka mashavuni mwake .
Amina alimwangalia bintiye usoni jinsi alivyokuwa anaongea kwa uchungu huku akilia jambo ambalo lilimzidishia maumivu ndani ya moyo wake ‘’basi mwanangu ukifunga shule nitakupeleka ukapajue alipo baba yako , sawa sakina?’’
0 notes
Text

Sometimes i let my mind run away from me and don't know how many in a Year
0 notes
Video
How Meek Mill thinks Drake writes in the studio! 😂😂 (Tag 5 people)
2 notes
·
View notes
Photo
When i was you and stupid lol

*#instayoung#instacute#*………..back at 12 march 2000
1 note
·
View note
Text
Woops my 10 minute study break turned into a whole year
-Tias Chris
0 notes
Photo
Happy birthday Hermione Granger (September 19)
7K notes
·
View notes
Text
Just Blaze Shares Unused Jay Z, Jay Electronica Instrumentals
“I want to put out ‘Miracle’ but I’m afraid of struggle raps on it.”
Last night, Just Blaze posted “Miracle” and “Moleskine Conclusion” on his Soundcloud , two outtakes that never became full songs, as FACT points out . “Miracle” was discussed with Jay Z , Rick Ross , and Jeezy , while “Moleskine Conclusion” was intended as a conclusion to Jay Electronica ‘s “Dear Moleskine” . Listen to both of them…
View On WordPress
1 note
·
View note
Text
that moment when you only pay wjth coins
Aug 03, 2015 | that moment when you only pay wjth coins by matultimate on Keek.com
0 notes
Video
tumblr
How Meek Mill thinks Drake writes in the studio! 😂😂 (Tag 5 people)
2 notes
·
View notes
Text
When you're in a relationship and a pretty girl walk by. ???? w/ DeStorm Power , Liane V #KingBach
Jul 26, 2015 | When you're in a relationship and a pretty girl walk by. ???? w/ DeStorm Power , Liane V #KingBach by matultimate on Keek.com
0 notes
Text
chris brown #bitches #slideshow #keek #like #keekback
Jul 17, 2015 | chris brown #bitches #slideshow #keek #like #keekback by matultimate on Keek.com
0 notes
Text
hallelujah #bottie #twerk #spam #like #keekback #african
Jul 17, 2015 | hallelujah #bottie #twerk #spam #like #keekback #african by matultimate on Keek.com
0 notes
Text
#keek #follow #like #keekback #love #technology
Jul 16, 2015 | #keek #follow #like #keekback #love #technology by matultimate on Keek.com
0 notes
Text
big sean ft chris brown - play no games #keekback #keek #likeforkeek #finalyfamous
Jul 16, 2015 | big sean ft chris brown - play no games #keekback #keek #likeforkeek #finalyfamous by matultimate on Keek.com
0 notes