Tumgik
#wadadisi
magaratimes · 2 years
Text
#VOA. | Wadau wa mazingira wadadisi usalama wa nguo za mitumba kwa mazingira
#VOA. | Wadau wa mazingira wadadisi usalama wa nguo za mitumba kwa mazingira
Wanamazingira wadai kuwa nguo za mitumba zinachangia kuongeza tatizo la taka na baadhi ya watu wanahoji iwapo nchi za Magharibi na Asia zinazo safirisha mitumba kwenda nchi za Afrika wanatumia fursa hiyo kugeuza bara hilo ni jaa la kutupa uchafu. Source link: Habari hii imetoka kwenye wavuti wa VOA Swahili.
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
tanzaniatech · 4 years
Text
Jiandae na Simu Mpya za Tecno Camon 15 Nchini Tanzania
Kampuni kinara ya simu za mkononi TECNO ndio kampuni inayosemekana na wadadisi wa masuala ya teknolojia ya simu kuwa huenda ndio itakayoleta teknolojia ya kamera ya simu ambayo kwa mara ya kwanza katika tasnia ya masuala ya simu janja Tanzania itakata kiu kwa watumiaji wa simu hizo hasa kwa upande wa kamera, betri na muundo […] More
Soma Zaidi : Jiandae na Simu Mpya za Tecno Camon 15 Nchini Tanzania
source https://tanzaniatech.one/2020/04/tecno-camon-15-hivi-karibuni/?utm_source=rss&utm_medium=rss&utm_campaign=tecno-camon-15-hivi-karibuni
0 notes
enockmaregesi · 10 years
Text
Waandishi
128. Waandishi ni wadadisi.
View On WordPress
0 notes
magaratimes · 8 years
Text
#DWSwahili: Wagambia wataka haki itendeke kwa waliopotea | NRS-Import | DW.COM
#DWSwahili: Wagambia wataka haki itendeke kwa waliopotea | NRS-Import | DW.COM
[ad_1]
Polisi nchini humo imeanzisha uchunguzi katika visa kadhaa, lakini wadadisi wanasema kufungua mashtaka katika mahakama ya uhalifu ya kimataifa ya ICC ni changamoto kubwa.
Wakati afisa wa usalama wa Gambia alipomkamata mwandishi wa habari Ebrima Manneh ofisini kwakwe, alimwambia mlinzi wa ofisi amuwekee chai yake.  “Narudi sasa hivi,” alisema Ebrima kulingana na mfanyakazi mwenziwe Alhagie…
View On WordPress
0 notes