#hukuhuku
Explore tagged Tumblr posts
iliferecordz ยท 6 years ago
Video
instagram
#Repost @talent.pr (@get_repost) ใƒปใƒปใƒป #Gage - #HukuHuku #ZuluRiddim #GoldPlaque @gageyounglegend @goldplaque @shrimpymeikle #talentPromotionandRecognition #talentPR #jamaicantalent https://www.instagram.com/p/BoBAPWkFamA/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=14zbkg4m0pgay
0 notes
soudybrown ยท 8 years ago
Photo
Tumblr media
Jana Tulikua kwenye Mazungumzo Mazito Mh. Aden Rage Nyumbani kwake, Nia ya Mheshimiwa kutuita Nyumbani kwake ilikua Ni kutushawishi Tumtembelee Tabora, Hukuhuku na hukuhuku baada ya Mazungumzo ya Muda mrefu Kamati ya Shirika La Wambea Duniani #Shilawadu imekubali kwenda Tabora kiroho safiiii, Tabora Tunakuja hivi Karibuni
0 notes
simulizihearteyes ยท 8 years ago
Photo
Tumblr media
HEART EYES 176 Mama Maisarah anakubaliana na mwanae kwa kuhofia kugombana nae, japo roho inamuuma kutomjulisha Feroz usalama wa Maisarah sababu anajua Feroz pia l anamtafuta sana kwa hali na mali, mkwara wa Maisarah unamfanya akae kimya na kumshukuru Mungu kwa kumpata mwanae. Brown anapanga kuonyesha hamtamani Maisarah ili aingie kwenye mtego wake vizuri, anapiga simu kwa Belinda anamletea Maisarah maziwa Pole mamy Belinda anamwambia Maisarah baada ya kuhisi ni wifi yake kwa jinsi anavyomjua kaka yake Asante Brown anamtambulisha Sarah Bee Huyu ni mdogo wangu anaitwa Belinda ndo ameniambia uko hapa baada ya kuona nimeweka picha yako kwenye whatsapp profile yangu Oh mmefanana sana Belly hujakosea ndo huyu Si nilikwambia, ni mrembo sana kumfananisha na mtu sio rahisi Wanacheka Kaka B chumba chako kiko tayari ni mlango wa tatu kutoka hapa number 105, mi narudi shift yangu imeisha muda Ok Utaondoka baadae Yes nitakupigia Sawa Belinda anapotoka Brown anamuaga Maisarah na kwenda kulala chumbani kwake, hadi saa 2 asubuhi hakuna anaepata usingizi kati yao. Brown anaenda kumgongea Maisarah, anamfungulia akiwa kama alivyomuacha masaa machache yaliopita Sarah hujalala Sijalala sipati usingizi Unawaza sana vitu ambavyo havina maana tena kwako niamini huhitaji kuwa hivi, sikia mimi nimekujua wewe kabla ya Feroz Sarah nitakusaidia kama ambavyo ulikua rafiki yangu kipindi kile sawa? Naumia sana Brown Sitaki uumie sababu ya ushenzi wa Feroz, ninachokushauri ukate mawasiliano na Feroz na watu wote wanaomhusu na mama pia mwambie na mama asiwe na mawasiliano na Feroz ikiwezekana hata pale ahame arudi Sinza nyumbani kwenu Brown anazidi kumjaza Maisarah chuki nyingi kiasi kwamba hataki kabisa kuingia tena kwenye nyumba nzuri waliopewa waishi na hataki kutumia kitu chochote alichopewa na Feroz, anampigia mama yake na kumtaarifu juu ya maamuzi yake na kumuomba amkute Sinza usiku watakapoingia Mama usichukue kitu chochote chumbani kwangu labda ubebe vitu vyako Sarah mwanangu una nini lakini? Mbona unaamua haraka bila kumshirikisha mwenzio, umesahau mara hii mambo yote aliotufanyia mwanangu Mama nimekwambia sitaki uongelee habari za Feroz kama unataka kuniona, au nibaki hukuhuku...?
0 notes
takumaroop ยท 10 years ago
Photo
Tumblr media
hukuhuku
3 notes ยท View notes