Tumgik
#alidays
rwizakakiza · 8 months
Text
JE, UTAJISIKIAJE UNAYEMWITA MTENDA DHAMBI, AKAWA RAFIKI WA MUNGU?
°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Fuatilia na Subscribe.
Https://www.youtube.com/@Rwizakakiza
Tuanze kwa kuongeza swali hili Ulishawahi kumwehesabia hatia, yaani kutomwamini mtu kwa sababu ya dhambi zake za zamani?
‭........BWANA atajulikana na Misri, na Wamisri watamjua BWANA katika siku hiyo; naam watamtumikia kwa dhabihu na matoleo, nao watamwekea BWANA nadhiri, na kuzitekeleza.
......Isaya 19:21......
Tunafahamu wazi Taifa la Misri kiroho tunaweza kusema ni sehemu ya upotevuni, Wengine wakitaka kumaanisha mtu ameacha wokovu utasikia wanasema 'Amerudi Misri'
Sauli baada ya kuokolewa na YESU KRISTO akaitwa Paulo, Mitume hawakumwamini, kilichowatesa ni dhambi zake za zamani, walitia shaka huenda akawaua na wao.
Kati ya kitu hatari kwa Mkristo yeyote ni KUMUHUKUMU MTU KWA DHAMBI ZAKE ZA ZAMANI (dhambi alizozifanya), KUMBE AMEKWISHA KUPATANA na MUNGU wake. MUNGU ataanza kumtumia kwa viwango vya juu, wakati wewe umeshikilia dhambi yake, kwa hiyo hata akija na ujumbe ambao unakuhusu hautakuwa tayari kuupokea kwa sababu haumwamini.
Neno linasema "MUNGU atajulikana Misri na Wamisri watamjua MUNGU (Kumjua MUNGU ni zaidi ya kumfahamu yaani Wamisri watajenga mahusiano ya kina na MUNGU) na watamtumikia kwa kujitoa na kuweka nadhiri na kuzitekeleza"
Ebu fikiria mtu wa namna hiyo atakosa kufanikiwa?
Kwa sababu ya kutekeleza kwa upya Neno la MUNGU na kulifanyia kazi, kitakachotokea ataanza kuinuliwa na MUNGU na kufanikiwa. Tatizo linabaki kwako unayejua mtu huyu ni Mmisri kumbe wakati huo kashaingia kaanani, utamuhukumu kwa dhambi zake kumbe kashapata na MUNGU wake utaambulia ukoma.
Mfano mwingine
Mara nyingi tunapozungumzia MWANAMPOTEVU (Luka 15:11-32) tunamwangalia alidai mali akaenda akazitumia vibaya lakini akarudi akatubu. Alipopatana na baba yake, Baba yake alimwinua juu akampa heshima zaidi. Tatizo likaja kwa mtoto mkubwa aliyekuwepo kwenye Ufalme bila kufaidi Ufalme ingawa vitu vyote ni vyake, anamlaumu baba yake, kumweshimisha aliyepotea kwa sababu anamuhukumu kwa dhambi ambazo zishatubiwa. Baba yake anamwambia ulikuwepo nami kwenye Ufalme kuna kitu nilikuzuilia.
Kwa hiyo kutofanikiwa ukiwa Mkristo sio tatizo la MUNGU ila ni tatizo la Mkristo mwenyewe.
Je unajitambua wewe ni nani?, Je unamchukuliaje Mtenda dhambi?, Je unauishi Ufalme (UKRISTO)? Maana asitoke nyuma yako akastawi ukamwonea wivu. Jipange na MUNGU wako, faidi kuwepo kwenye Ufalme wa MUNGU, Amina.
Rejea
‭‭ "And so the LORD will make Himself known to Egypt, and the Egyptians will know [heed, honor, and cherish] the LORD in that day. They will even worship with sacrifices [of animals] and offerings [of produce]; they will make a vow to the LORD and fulfill it.
......Isaiah‬ ‭19:21‬.......
(WhatsApp: +255 782 546 914)
@2024 The year of my shining.
1 note · View note
tongoamedia · 1 year
Text
Azimio Yakusanya Sahihi milioni kumi na Kutoa Alama ya D- kwa Utawala wa Ruto Baada ya Mwaka Mmoja!!
Raila alitangaza habari hiyo Jumamosi, Septemba 16, alipokuwa akizindua ripoti ya mwaka mmoja ya Rais Ruto, ambayo alidai mwaka mmoja umekuwa wakumfilishisha mwananchi wakawaida. By Brian Magiri, sept 17th 2023. Kiongozi wa Azimio La Umoja na aliyekuwa Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga amethibitisha kwamba yeye na muungano wake wa Azimio la Umoja wamekusanya zaidi ya sahihi milioni 10 huku…
Tumblr media
View On WordPress
0 notes
runawaybill · 1 year
Text
Virginia Beach, Virginia -
Tumblr media
it’s “AliDay” - the day that belongs to bartender “Ali” and her “Just One More Bar” characters …
pARTy Pals “Lurch” & “Bobby” are Great Smile-Sharon’ regulars …
Happy TGIA (Thank God It’s AliDay) 😃 …
#RunAwayBill
Friday 03.31.23
Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media
0 notes
msa-firi · 2 years
Photo
Tumblr media
Forgot to post my new house, kushikana. Brought a hoe with me na siendi shamba. Mshii alidai hajui mchezo, Nikamfunza mara moja nikajipanga." https://www.instagram.com/p/CmCED9MKIsY/?igshid=NGJjMDIxMWI=
0 notes
aluraluthor-danvers · 3 years
Photo
Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media Tumblr media
Aline Mineiro + Dayane Mello = Dayline Kisses 2
24 notes · View notes
emilianoscatarzi · 5 years
Photo
Tumblr media
Memory brings me back to June 2015, traveling California filming: ‘Federico Buffa the California experience’ With: @federicobuffa59 @gianandreac @benox69 . . . . . . . . . . . #emilianoscatarzi #california #alidays #fluidtravel #fluidtravel_by_alidays #federicobuffa #californiaexperience #italianphotographer #fotografia_italiana #videomaking #videomaker #italianvideomaker #sanfrancisco #oaklandbaybridge #baybridge #ezstudio #ez_studio #broadmag #humbleartsfoundation (presso Palo Alto Airport) https://www.instagram.com/p/By-Qaj6o0Oz/?igshid=izmus1c5vti
0 notes
rodmacedaxxx · 2 years
Photo
Tumblr media
Pre-order my Original Bisaya Music self-titled album - Rod Maceda. I wrote and composed all the songs straight from the heart. Send me e-mail to pre-order now. 🎵Go to my official facebook. Tambay is streamable on Spotify and other music streaming portals. 1. Tambay 🎵 2. Ayaw Jud Ay feat. Gigi B 🎵 3. Hangtod Karon 🎵 4. Langga 🎵 5. Ali Day 🎵 6. Angkunon Tika 🎵 7. Tanan Tanan 🎵 8. Bahandi Sa Kagahapon 🎵 9. Ana Guada 🎵 10. Ngari 🎵 #RodMaceda #Tambay #AyawJudAy #HangtodKaron #Langga #AliDay #AngkunonTika #TananTanan #BahandiSaKagahapon #AnaGuada #Ngari #OBM #OriginalBisayaMusic #AbanteBisaya #VeganArtist #BisayaMusicWorldDomination https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=373828221417193&id=100063700540514 (at Cebu City) https://www.instagram.com/p/CbrSEtNBT5F/?utm_medium=tumblr
0 notes
ritiriwaz · 4 years
Link
Tumblr media
#HazratAliBirthday #HazratAli #AliDay #13Rajab #BornInKaaba
0 notes
pepibeauty · 4 years
Link
Khám phá các công thức nấu ăn, ý tưởng nhà ở, cảm hứng phong cách và những ý tưởng khác để thử.
0 notes
jackky21 · 4 years
Link
0 notes
0 notes
localragamuffin · 2 years
Text
somwhere out there,
there is a polaroid
in which i am smiling
and holding up a peace sign.
everyone in the picture
found an unexpected
2nd home in the room we took it in;
the art room at our high school.
two days ago, ths underclassmen there
said their last goodbyes to us.
i hugged a girl with purple braids
while she cried.
"it's not like we're gone forever,"
i told her.
i left the art room for the last time,
not saying, "see you tomorrow,"
to our art teacher,
or "i'm coming back next study hall."
i said,
"see you sometime."
i went to find my closest friends,
and hugged them.
those who i am graduating with
on the 4th of june.
they hyped me up
to tell the guy i like
that i like him,
to leave the school with no regrets,
and i did just that.
with one of them by my side.
and she careied me through the next hall
on her back, in heels,
just for the hell of it,
and we walked arm-in-arm
just as we'd done all year.
we left with no regrets.
we laughed, we smiled,
we would not miss that school,
as we knew we'd gone through hell there,
and we would not dread leaving.
no one cried when we left for the last time.
we ran through the rain to the car to get boba,
laughing and screaming and
jumping over huge wells
of water in the parking lot.
somewhere out there,
there are pictures of me smiling,
holding up a peace sign.
and someone will tell someone else,
"i knew her. i knew them all.
we made it through high school together.
it sucked, but we did it."
and we did.
congratulations, class of 2022.
we made it.
:)
-
sincerely,
h. alidai
4 notes · View notes
gentleali · 3 years
Note
Ms. Ali did you do anything fun for AliDay. Did you eat some good food. Was Bento nice to you
Nothing super special but I had fun! My best friend came over in the morning to hang out and it’s been ages since we saw each other so it made me very happy heh
I had lunch with my family at this one restaurant we all like and they actually sang happy birthday to me and brought candles with my dessert and everything which was EMBARRASSING. but i survived snfkskg
Then I had to do some work in the evening and mr bento stayed to help
Tumblr media
he’s doing his best (best snores)
12 notes · View notes
aluraluthor-danvers · 3 years
Photo
Tumblr media Tumblr media Tumblr media
19 notes · View notes
Text
random alumni headcanons:
at first it seemed really funny but after several awkward situations, saeko and akiteru have decided they’ve quite enough of their families, shimada, takinoue, and random strangers assuming they’re together or suggesting they should date
they get on great but they’re both very happy with their respective partners alisa haiba and udai tenma, thank you very much
and no, akisae are not on a double date with alidai
24 notes · View notes
thekargilwala-blog · 6 years
Photo
Tumblr media
Eid-e-wiladate Maula Ali (A.S) Eid-Navroz Holi Mubarak. 🙂😀🙂 . Caught up with the kids in my home in the early hours. All of them came to me with their fingers covered with henna art. I had to take this photograph on the snow outside. . Navroz is celebrated in Kargil with great fervor. This year of Navroz coincides with the Birth Anniversary of Hazrat Ali (A.S) and Holi which makes it more special. . Trespone Kargil, March 2019 . #navroz #aliday #kargil #tresponevillage (at Trespone) https://www.instagram.com/p/BvQaFiIByRu/?utm_source=ig_tumblr_share&igshid=ynonsu85l535
0 notes