#Lugha
Explore tagged Tumblr posts
Text
2 notes
·
View notes
Text
It's speak your language day! I have some fun facts on Kiswahili! Translation under the cut.
Leo hapa Tumblr ni siku ya kuongea lugha yako ya kwanza (inaitwa speak your language day)! Kuisherehekea siku hii, nilitaka ku shiriki nanyinyi nyote semi chache za Kiswahili. Kiswahili ina utajiri nyingi ya mapokeo ya mdomo, na kuna desturi na historia ndefu ya kusimulia mahadithi, kutega vitendawili, n.k.
Kwa mfano, ukitaka kusimulia hadithi, unaanza hivyo:
Msimulizi: Hadithi hadithi!
Hadhira: Hadithi njoo, uongo njoo, utamu kolea!
Msimulizi: Zamani za kale...
Hadithi zinazosimuliwa mara kwa mara ni hadithi za wanyama wa porini: sungura mjanja, mfalme simba, fisi, na kadhalika; hadithi kama hizi zinapatikana katika nchi nyingi za Kiafrika.
Vitendawili ni semi zinazotegwa, na watu wanatakiwa wazifumbulie. Watu wanaoongea Kiswahili kawaida wanajua vitendawili vingi, kwasababu tunazifunza katika shule ya msingi—mi mwenyewe nakumbuka nilipokuwa katika darasa la saba, kabla ya mtihani ya taifa, nilikaa ninakariri vitendawili kama arobaini! Vitendawili vinachekesha na vinachemsha bongo, kwa mfano:
"Askari wangu ni mpole lakini adui wanamhara." (Jibu: paka)
"Tajiri wa rangi." (Jibu: kinyonga)
"Numba yango ina nuguzo mmoja." (Jibu: uyoga)
"Mzungu katoka ulaya no mkono kiunoni." (Jibu: kikombe)
Kwa ukweli mi mwenyewe nimeaanza kusahau vitendawili vingine—lakini zinapatikana ukiGoogle siku hizi!
Kiswahili ni lugha yenye historia, desturi, na vipengele vingi vya kuvutia—siwezi kuziandika zote hapa, lakini kwa mfano, muda ya Kiswahili ("swahili time"), ngeli za nomino, historia ya uandikishi wa Kiswahili (kuanza na harufi za Kiarabu), na ilivyotengenezwa 'lingua franca' katika Tanzania, na lugha ya taifa baada ya uhuru. Natumaini mtafunza kidogo kuhusu lugha ya Kiswahili leo—usiache baada ya kujua 'Hakuna Matata' tu!
(Kama nimokesea sarufi, samahani sana! Siku hizi siandiki kwa Kiswahili kwa kawaida.)
(Translated from Kiswahili/Swahili, with some extra notes)
Today, here on tumblr, is Speak Your Language Day! To celebrate this day, I wanted to share with you a few short sayings in Kiswahili. Kiswahili has a rich variety of oral traditions, and there is a long history and tradition of narrating stories orally, posing vitendawili (common riddles), etc.
For example, it is traditional when one is narrating a story to start like this:
Narrator: A story, a story!
Audience: Story, come! Fiction, come! Make it sweet!
Narrator: Once upon a time...
The common tales that are narrated are folk tales involving wild animals: common characters of the cunning hare (sungura mjanja), the king lion, the hyena—folk tales of similar nature can be found in many African countries.
Vitendawili are short sayings that are posed, and people need to solve/figure them out. People who speak Kiswahili will know many of these, because we learn them in primary school—I remember when I was in Grade 7, before my national exams (standardised tests taken at the end of primary school), I sat and memorised about forty different vitendawili! Vitendawili can both make one laugh, and be mind-bogglers (literal translation: they boil the brain), for example:
"My soldier is so gentle, but the enemies are scared of them."
"The one wealthy in colours."
"My house has only one pillar."
"The white man has come from England with his hand on his waist."
Answers to the vitendawili are at the bottom.
In all honestly I have forgotten a lot of the vitendawili—but these days you can Google and find lists of them easily!
Kiswahili is a language with a rich history, and many fascinating features—I couldn't write them all here, but for example, Swahili time, our many noun classes, the history of writing Kiswahili (there are early Kiswahili writings using the Arabic script), and the way it originated as a lingua franca and how it became the national language and a uniting factor in Tanzania after independence. I hope you'll look up the history of or a little bit of Kiswahili today—it's much more than just the phrase 'Hakuna Matata'!
(My apologies if I've made any grammar mistakes—these days I don't often write in Kiswahili. Also, because I intentionally wanted to write this in Kiswahili first, and then translate it, and I'm not practiced at translation, the English sounds clunky/weird—my apologies, but hey, it's SpYLD, I gotta prioritise the non-English text.)
Answers to the vitendawili:
A cat
A chameleon
A mushroom
A teacup
Some links:
Langfocus' Swahili video, which is a really good primer
The online Kiswahili dictionary I use most
For Kiswahili news, BBC Swahili (both online and you can listen to the radio) is pretty good. There's also many, many Kiswahili language news sites you can find, eg Mwananchi.
And of course, music!
Bongo flava is a genre of Tanzanian music (that originated in Dar es Salaam! Bongoland!)—it's a vibrant genre, it's closely linked to hip-hop and Afrobeats; I have a soft spot for the Bongo Flava of the 00s, so here's Usineseme by Ali Kiba (2009)
Sauti Sol are super well known these days, with good reason! They're awesome! They sing in both Kiswahili and English, but my favourite song of theirs is Nairobi
And in a departure from my usual brand, some patriotic music—this is a remix of the traditional patriotic song Tanzania Tanzania, recorded to encourage people to vote in the 2015 elections. I like it because it's a fun video that captures a lot of different parts of Dar es Salaam.
#this got so much longer than i planned#and translation is hard my god#spyld#speak your language day#kiswahili#swahili#languages#linguistics#home and neighbouring lands#text post#my post#anyway hope you all have enjoyed this journey in which i learn bad i am at translation#and how much specific kiswahili vocab i've forgotten#i can feel my primary school teachers' disappointment
161 notes
·
View notes
Text
Https://www.youtube.com/@Rwizakakiza
Tumaini Jipya Ndani ya YESU KRISTO
Ni
KUMZALIA MUNGU MATUNDA YADUMUYO (TUNDA LA ROHO MTAKATIFU)
"KKK 1832"
Juzi tuliona ili uweze kumzalia MUNGU matunda yadumuyo, lazima ukae ndani ya YESU, na YESU akae ndani yako yaani uwe umeungana kabisa na YESU KRISTO, na utaratibu wa kuungana na YESU KRISTO ni kukaa.
....... Yohana 15:1-8.......
NINI MAANA YA KUKAA?
>>>Kwa kawaida mtu ukikaa chini, huna uwezo wa kujitetea yaani huwezi kutumia uwezo wako ulionao kupambana, ukiwa umekaa hapa unahitaji msaada wa kusaidiwa kupiganiwa, sio wewe kupigana maana huna uwezo wa kupigana.
....... Ndio maana ametumia lugha ya kukaa, akimaniisha Unamwihitaji BWANA YESU akusaidie kushinda kila kitu na kila hali,...... Hajasema uwe ndani ya YESU...... Ukiwa ndani ya YESU, unaweza kusimama, kukimbia, kuruka, nk, kwa maana unaweza kutumia uwezo wako (Elimu, cheo, karama, vipawa, uzuri, nk, kupambana au kutatua hali au jambo, lakini kuna mengine yatagota pamoja kwamba utatumia Elimu au nafasi yako kufanya baadhi ya vitu
lakini
....... Hauwezi kununua Uzima wa milele,...... Hauwezi kununua upendo...... Hauwezi kununua Amani,....... Hauwezi kununua furaha, ambayo ni matunda ya ROHO MTAKATIFU.
..... Hivyo ndio maana anasema, ili nizae matunda yadumuyo, lazima nikae ndani ya YESU KRISTO, ili NISITEGEMEE uwezo wangu, akili zangu, karama, vipaji, Elimu, nk, Ila naweza kuvitumia ila nisivitegemee, bali nimtegemee YESU KRISTO kwa kila kitu, yaani nikae ndani ya YESU KRISTO.
>>>Dalili za kugundua umekaa ndani ya YESU KRISTO Ni kuzaa matunda yanayodumu, ndiyo yatakayokutambulisha.
...... Mathayo 7:15-20.....
Matunda yadumuyo na yenye kukutambulisha ambayo tutaangalia Matunda 12 amboyo ni baadhi kwa maana yapo zaidi, Tuanze na Tunda la kwanza......
1. UPENDO
💬.... Tutaendelea jumatatu........
Rejea
"Tunda la Roho ni Upendo, Furaha, Amani, Uvumilivu, Utu wema, Fadhili, Uaminifu, Upole, Kiasi; Juu ya mambo kama hayo hakuna sheria. Tukiishi kwa Roho, na tuenende kwa Roho.
Galatia 5:22-25
@2023 the greatest Glory for me.
2 notes
·
View notes
Text
Sikiliza podikasti ya Bible Bard kwa Kiswahili!
Hujambo, Kila mtu anayefuatilia podikasti ya Bible Bard kwa Kiswahili! Vipindi vipya sasa vinapatikana kwenye YouTube katika (https://www.youtube.com/playlist?list=PLqT_SYEyXSZd30NJFNTogB8L-NGKwq82F) na katika www.BibleBard.org/ Lugha zingine.
#Bible#Bible Bard#Soundcloud#literature#god#bible study#christianity#divinity#Humanity#Christian#educational
1 note
·
View note
Text
Understanding Key Terms for Learning: Education Vocabulary in Arabic
Learning a new language often starts with understanding common words and phrases. For anyone interested in Arabic, getting familiar with education vocabulary in Arabic is a great way to build a strong foundation. Whether you're a student, a teacher, or just curious about the language, knowing the right words can make a big difference.
Basic Education Words
One of the first words you’ll come across is مدرسة (madrasa), which means school. If you're talking about a university, the word is جامعة (jami‘a). A teacher is called معلم (mu‘allim) for a male or معلمة (mu‘allima) for a female. If you’re the one learning, you’d be a طالب (talib) if you're male or طالبة (taliba) if you're female.
Classroom and Study-Related Words
Inside the classroom, you’ll find a سبورة (saboura), which is the board where the teacher writes, and كتاب (kitab), meaning book. A notebook is called دفتر (daftar), and a pen is قلم (qalam). If you're taking notes, you might hear the word ملاحظات (mulahazat), which means notes.
Subjects and Exams
When discussing subjects, math is رياضيات (riyadiyat), science is علوم (\u‘ulum), and history is تاريخ (tarikh). Languages are called لغات (lughat), and Arabic specifically is اللغة العربية (al-lugha al-‘arabiyya). If you're preparing for an exam, the word for it is اختبار (ikhtibar) or امتحان (imtihan). A passing grade is called ناجح (najih), while failing is راسب (rasib).
School Life and Activities
Students often participate in نشاطات (nashatat), meaning activities. A school trip is a رحلة مدرسية (rihla madrasiyya), and if you enjoy sports, you might join a فريق رياضي (fareeq riyadi), which is a sports team. Graduation is a big moment, and the Arabic word for it is تخرج (takharuj).
Communication in an Academic Setting
In school, you'll often hear سؤال (su’al) for question and جواب (jawab) for answer. If you don’t understand something, you can say لا أفهم (la afham), meaning "I don’t understand." Asking for help? Try ممكن المساعدة؟ (mumkin al-musa‘ada?), which means "Can you help?"
Final Thoughts
Whether you’re just starting or looking to expand your knowledge, these words will come in handy. The more you practice, the easier it gets to recognize and use them in everyday conversations. If you’re planning to visit an Arabic-speaking country or take a course, learning these terms can help you feel more confident in a classroom setting. Keep practicing, and soon, speaking about education in Arabic will feel natural!
0 notes
Text
Adhabu ya Refa imewapa ushindi Simba
HAKUNA lugha nzuri unayoweza kusema wakati bao la pili lilipofungwa na winga hatari wa Simba, Kibu Dennis zaidi ya kusema ‘heshima kwa nchi’. Simba waliingia katika uwanja wa Taifa wakiwa na jambo moja tu la kutafuta pointi tatu. Hata hivyo SC Sfaxien wameadhibiwa kutokana na nidhamu mbovu ya kuchelewesha mpira. Katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa uliopigwa kwenye dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar…
0 notes
Text
Kiswahili Form 2 Question Paper and Marking Scheme – Term 1 2025 Model20241208008
Karatasi hii ya Maswali ya Kiswahili kwa Kidato cha Pili inatoa muhtasari wa kina wa masomo muhimu katika lugha ya Kiswahili. Inajumuisha maswali mbalimbali kama vile insha, ufahamu, ufupisho, sarufi, isimu jamii, na fasihi, ambayo yanatoa fursa kwa wanafunzi kuelewa vyema lugha na matumizi yake. Maswali ya insha yanawapa wanafunzi nafasi ya kuonyesha ujuzi wao wa kuandika, huku ufahamu…
0 notes
Text

TUNAUZA MIFUKO YA KUHIFADHIA NAFAKA | MIFUKO YA PICS
Call/Text/WhatsApp: 0714 636 375
@joackcompany @kilimo_tz @mifugo_tz @afyakiganjani @joackagrovet
Muda wetu wa kazi ni saa 1 Asubuhi hadi saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm)
MIFUKO YA PICS NI NINI HASA?
PICS bags ni kifupi cha maneno” purdue improved crop storage” na ni mifuko iliyobuniwa kwaajili ya kuhifadhi mazao mbalimbali bila kutumia kemikali au madawa ya kuuwa wadudu waharibifu wa mazao.
Kwa lugha rahisi inajulikana kama mifuko ya tabaka tatu kwa vile
inatabaka tatu zinazofanya kuwa mfuko mmoja uliokamilika mfuko huu una tabaka tatu ,tabaka mbili za ndani zimeundwa na nylon mbili nzito na tabaka ya nje ni mfuko mzito wa kiroba au sandalus
Unaweza kuhifadhi mazao yote ya jamii ya nafaka na mikunde kwa kutumia mifuko ya kinga njaa(picstabaka tatu), mfano; #mahindi, #mtama, #uwele, #shayiri, #ngano, #kunde, #maharage, #karanga, #mbaazi, #njugumawe, #fiwi, #choroko
#mifukoyakuhifadhianafaka #mifukoyapics #mifukoyatabakatatu #nafaka #kuhifadhinafaka #wauzajiwanafaka #mchele
Office zetu zipo @tegetawazohill - Barabara ya kwenda kiwanda cha @twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 714 636 375(WhatsApp)
+255 692 43 02 63
Email:
YouTube: https://youtu.be/UxLyLqHtfnw
Website link: https://www.joack.co.tz
Google location: https://maps.app.goo.gl/C2XiH7ppmYe6pq7Q9
#joackcompany #kilimo #mifugo #dodoma #kilimochanafaka #tanzania🇹🇿 #mbegu #tanzania #morogoro #mbeguzanafaka
Welcome JOACK Company LTD| DSM & BAGAMOYO
0 notes
Text
Somo: TABIA 25 ZA KUEPUKA NA HATARISHI KWENYE MAISHA YAKO. (Part 31: KUA...
youtube
Somo: TABIA 25 ZA KUEPUKA NA HATARISHI KWENYE MAISHA YAKO.
---------------------------------------------------
SUBSCRIBE (Tumaini Jipya Duniani Tv)
https://youtube.com/@rwizakakiza?si=Dxyt4PJIQJmsOczn
Sehemu: 31.
----------------------
3. 16. TABIA YA 16: "KUAMINI MIUNGU"
Kuamini miungu ni tabia inayojengeka ndani ya mtu kwa kuondoa nafasi ya MUNGU aliye hai ndani yake na kutegemea miungu mingine badala ya MUNGU wa kweli.
.......Hata watu walipoona ya kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima, wakakusanyana wakamwendea Haruni, wakamwambia, Haya! KATUFANYIZIE MIUNGU ITAKAYOKWENDA MBELE YETU. BWANA akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri WAMEJIHARIBU NAFSI ZAO, WAMEPOTOKA UPESI KUIACHA ile NJIA niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha WAKAIABUDU na KUITOLEA dhabihu, wakasema, HIYO NDIYO MIUNGU YAKO, Ee Israeli, ILIYOKUTOA katika nchi ya Misri.
.......Kutoka 32:1, 7 - 8......
Kwa lugha nyingine kumpa nafasi Ibilisi amiliki maisha yako na kumwondoa kabisa MUNGU kwenye maisha yako na roho ya miungu itaanza kufanya kazi wewe na kukutumikisha.
Yapo makundi mawili ambayo ni
1. Wanaojua na wamejitoa kabisa kumtumikia shetani.
Hawa hawafanyi kwa bahati mbaya ni kwa makusudi kwamba wamemwasi MUNGU na wanapambana na watu wa MUNGU.
.......Basi Haruni akaunyosha mkono wake juu ya maji yote ya Misri; na hao vyura wakakwea juu, wakaifunika nchi ya Misri. WAGANGA NAO wakafanya mfano wa hayo kwa uganga wao; na kuwaleta vyura juu ya nchi ya Misri.
......Kutoka 8:6-7......
2. Wanaomtumikia shetani bila kujua.
Kundi hili ni watu wengi mno na shetani anawapata kwa ila yaani kujigeuza malaika wa nuru.
.....Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
....2Korintho 11:14.....
Kuna baadhi ya waganga ukiwauliza wanasema wamepewa uwezo huo na MUNGU, kuna Wachawi wanadai uchawi wao ni mzuri sio wa kudhuru watu, Kuna washirikina wanaamini kwamba vyote ni vya MUNGU na waganga wameumbwa na MUNGU kutusaidia.
Kuna watu wengine wanaloga bila kujua kama wanaloga, ngoja nikukumbushe... Unakumbuka michezo uliyokuwa unafanya pindi ukiwa shuleni mwalimu alipoazimia kukupiga, alafu ukatema mate chini, / ukafunga vidole /ukaweka Majani mlangoni na hivyo hakupigwa. ilionekana ni vitu vya kawaida kipindi hicho, Je ni nguvu ya MUNGU ilitumika au ya nani?
......Wakaenda WAKATUMIKIA miungu, WAKAIABUDU miungu WASIYOIJUA, asiyowapa yeye.
.....Kum 29:26......
Kundi hili wanamwamini MUNGU kuwa yupo, lakini HAWAMTEGEMEI bali wanaitumainia miungu yao yaani majini na Mizimu yao wakati huo huo ni watu wa ibada kwa MUNGU.
3. 16. 1. DALILI / MATOKEO YA TABIA YA KUAMINI MIUNGU.
1. ROHO YA KUTANGATANGA
Ni wazi mtu anayetangatanga bila kuelewa uweza wa MUNGU ukoje, sio rahisi kumtegemea MUNGU. Hapa kuna wanaotangatanga kwenye
(a). MAKANISANI - Leo yupo kanisa hili, Kesho yupo kanisa hili, leo amwamini mchungaji fulani, Kesho Padri fulani yaani aeleweki, Mwisho anaangukia mikononi mwa Ibilisi.
(b). MOYO - Maangaiko ya moyo (Yaani kundi hili wanamwamini MUNGU lakini inapokuja shida wanawategemea watu au vitu - mfano.... Unamwamini MUNGU vizuri sana... Unapoishiwa Ada au kodi ya pango na ukaambiwa utafukuzwa ndani ya siku mbili, MUNGU unamweka pembeni, Unamtafuta mtu atayekusaidia au kukukopesha fedha.
2. KUPINGA NENO LA MUNGU.
Mtu yeyote anayepinga Neno la MUNGU ni mpinzani wa MUNGU, haijalishi nani anatoa Neno la MUNGU kwa wakati huo.
...Baa zinakesha kwa makelele hakuna shida, ila kanisa wakifanya mkesha ni makelele.
...Watu wakinena kwa lugha shida ila wakinena matusi ni lugha ya sasa
...Vijana wakihubiri mitaani utasikia 'wanatafuta pesa' lakini watu wakipeleka pesa kwa waganga sio shida
Kuamini miungu/ kuitegemea ni uasi dhidi ya MUNGU, Ni hatari kwenye maisha yako ya umilele. Epuka hili kwa kuamua leo kumkiri na kumwamini YESU awe BWANA na Mwokozi wako, YESU atakustarehesha mbingu, shetani atakupeleka kwenye ziwa la moto wa milele. Je wewe ni wa MUNGU au wa shetani?
.....Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto. Basi, kwa sababu una UVUGUVUGU, wala hu baridi wala moto, NITAKUTAPIKA utoke katika kinywa changu. NAKUPA SHAURI, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona. Wote NIWAPENDAO mimi NAWAKEMEA, na KUWARUDI; basi UWE na BIDII, UKATUBU.
.....Ufunuo 3:15 - 19.....
3. 17. TABIA YA 17: "MAUAJI"
......Tutaendelea......
________________________________
Rejea
"Those whom I [dearly and tenderly] love, I rebuke and discipline [showing them their faults and instructing them]; so be ENTHUSIASTIC and REPENT [change your inner self—your old way of thinking, your sinful behavior—seek GOD’s will]"
......Revelation 3:19......
________________________________
For help:
Ev. Erasmus Pascrates Kakiza
+255 782 546 914
+255 764 215 291
....."2025 KAA NDANI YA YESU, UZAE SANA".....
0 notes
Text
TUNAUZA MASHINE YA KUTENGENEZA PELLET KWAJILI YA CHAKULA CHA MIFUGO | ZIPO MASHINE ZA UWEZO TOFAUTI TOFAUTI.
Call/Text/WhatsApp: +255 712 253 102
BEI ZA PELLET NA UWEZO WAKE
100Kg/hr = 1,500,000/=
150Kg/hr = 1,700,000/=
200Kg/hr = 1,770,000/=
300Kg/hr = 3,500,000/=
500Kg/hr = 4,500,000/=
1,000Kg/hr = 6,500,000/=
PELLET ni chakula cha mifugo kilicho tengenezwa katika mfumo wa tambi tambi au chenga chenga, yaani kwa lugha rahisi ni chakula cha tambi tambi.
JINSI YA KUTENGENEZA PELLET
1. Ili utengeneze pellet, unatakiwa kuchangya virutubisho vyote mfano mahindi, mashudu, pumba, soya, madini, vitamini, nk sehemu moja kwa kutumia beleshi au mashine maalumu ya kuchanganyia chakula (MIXER)
NB: Chakula kilicho changanywa tu na kupewa wanyama huwa kinaitwa MASH.
2. Changanya mchachayo wako na maji kidogo, ili uwe na unyevunyevu, hii husaidia chakula kushikana pindi unapotengeneza pellet kwenye mashine.
3. Chukua huo mchanganyo wako na weka kwenye mashine ya Pellet na uwashe mashine ili kutengeneza Pellet.
4. Hatua ya mwisho ni kuchukua Pellet ulizo tengeneza na kuzianika juani (lisiwe kali).
KWANINI ULISHE PELLET?
Hii ni kwasababu pellet moja (chenga moja) inakuwa na virutubisho/vichanganyo vyote, lakini kwenye chakula cha MASH mnyama/ndege anaweza kula punje aina moja zaidi kuliko nyingine, mfano kula mahindi kuliko soya.
Hii sababu inafaya PELLET kuwa bora na yenye matokeo kuliko MASH
#pellet #pelletmachine #chakulachasungura #mashineyakutengenezapellet #vifaavyamifugo #mizaniyachakulachamifugo #mashineyapellets #mashinezachakulachakuku #rabbitpelletsmachine #pelletmachine #mashineyachakulachasungura #mashineyachakulachamifugo #chakulachakuku #poultryequipments #tunauzamshinezaufugaji
Office zetu zipo @TegetaWazohill Barabara ya kwenda kiwanda cha twigacement, opposite na kota za kiwanda - Dar es salaam, Kwa wanaohitaji bidhaa zetu au huduma yoyote fika ofisini au wasilina nasi kwa
Simu:
+255 712 253 102 (WhatsApp)
+255 737 35 86 89
Email:
Website
www.joack.co.tz
#joackcompany #joackagrovet #mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #tanzania🇹🇿 #ufugaji #kuku #dodoma #tanzania
JOACK Company LTD | DSM & BAGAMOYO
0 notes
Text
Podikasti ya Bible Bard sasa iko kwenye YouTube kwa Kiswahili
Kuna takriban wazungumzaji milioni 200 wa Kiswahili. Kiswahili ni lugha ya taifa ya Tanzania, Kenya, Uganda, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. The Bible Bard ina toleo la lugha ya Kiswahili la podikasti hiyo. Imekuwa ikipatikana kwenye Soundcloud kwa miaka 2 [https://on.soundcloud.com/c1my3jBJB2fjG6eo8]. Tumeichapisha hivi punde kwenye YouTube [https://youtube.com/playlist?list=PLqT_SYEyXSZd30NJFNTogB8L-NGKwq82F&si=auxmmcK0yP97qIAt]. Tembelea www.BibleBard.org
#Bible#Bible Bard#Soundcloud#literature#god#bible study#christianity#divinity#Humanity#Christian#educational
0 notes
Text
How to Introduce Yourself in Arabic: A Simple Guide for Beginners
Learning a new language can be exciting, and Arabic is no exception. Whether you’re traveling to an Arabic-speaking country, making new friends, or just expanding your language skills, knowing how to introduce yourself is a great first step. In this guide, we’ll walk you through the essential phrases and tips to confidently say hello and share a bit about yourself in Arabic.
Basic Greetings
Before jumping into introductions, it’s important to start with a friendly greeting. Here are some common ways to say hello:
السلام عليكم (As-salāmu ʿalaykum) – Peace be upon you (formal, widely used)
مرحبا (Marḥabā) – Hello (casual and friendly)
أهلا (Ahlan) – Hi (also casual)
To respond to As-salāmu ʿalaykum, you can say وعليكم السلام (Wa ʿalaykum as-salām), which means “and peace be upon you too.”
Introducing Yourself
Now that you’ve greeted someone, it’s time to introduce yourself. Here’s a simple structure to follow:
My name is... – اسمي ... (Ismī ...)
Example: اسمي علي (Ismī ʿAlī) – My name is Ali.
I am from... – أنا من ... (Anā min ...)
Example: أنا من أمريكا (Anā min Amrīkā) – I am from America.
I live in... – أسكن في ... (Askunu fī ...)
Example: أسكن في لندن (Askunu fī Landan) – I live in London.
I work as... – أنا أعمل كـ ... (Anā aʿmal ka...)
Example: أنا أعمل كموهندس (Anā aʿmal kamuhandis) – I work as an engineer.
I study... – أنا أدرس ... (Anā adrus ...)
Example: أنا أدرس اللغة العربية (Anā adrus al-lugha al-ʿArabiyya) – I study Arabic.
Nice to meet you! – سعيد بلقائك (Saʿīd biliqāʾik) (if you are a man) / سعيدة بلقائك (Saʿīda biliqāʾik) (if you are a woman)
Practice Makes Perfect
The key to feeling comfortable introducing yourself in Arabic is practice. Try repeating the sentences aloud, recording yourself, or practicing with a friend. You can also mix and match phrases to create a more natural introduction. For example:
مرحبا! اسمي محمد. أنا من مصر لكن أسكن في دبي. أعمل كمدرس. سعيد بلقائك!
(Marḥabā! Ismī Muḥammad. Anā min Miṣr lākīn askunu fī Dubayy. Aʿmal kamudarris. Saʿīd biliqāʾik!)
Translation: Hello! My name is Mohammed. I am from Egypt, but I live in Dubai. I work as a teacher. Nice to meet you!
Final Thoughts
Learning to introduce yourself in Arabic is a great way to start conversations and build connections. The more you practice, the more confident you’ll feel. So, don’t be afraid to give it a try, even if you make mistakes—native speakers will appreciate your effort. Keep practicing, and soon enough, you’ll be able to introduce yourself naturally and comfortably in Arabic.
Learn Arabic how to introduce yourself in Arabic and start connecting with people in a whole new way!
0 notes
Text
Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango asisitiza elimu kutolewa Hatifungani ya Samia ya Miundombinu (Samia Infrastructure Bond)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Ofisi ya Rais -TAMISEMI na Benki ya CRDB kuhakikisha uzinduzi wa Hatifungani ya Samia ya Miundombinu (Samia Infrastructure Bond) unaenda sambamba na utoaji wa elimu kwa umma kwa lugha rahisi kuhusu masuala ya fedha na uwekezaji katika fursa kama hizo. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati wa uzinduzi wa…

View On WordPress
0 notes